KWA MARA YA KWANZA LULU AZUNGUMZIA JINSI ALIVYOMMIS KANUMBA KATIKA MTANDAO ZAIDI PITA HAPA!!!!!!!!


KWA MARA YA KWANZA LULU AZUNGUMZIA JINSI ALIVYOMMIS KANUMBA KATIKA MTANDAO ZAIDI PITA HAPA!!!!!!!!

.
Wakati zikiwa zimebaki wiki chache tu hadi kifo cha Stephen Kanumba kitimize mwaka mmoja, aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth Michael aka Lulu kwa mara ya kwanza leo ameandika ujumbe kuhusiana na jinsi anavyomkumbuka.
ELIZABETH MICHAEL


Lulu aliachiwa kwa dhamana mwezi January mwaka huu baada ya kukaa mahabusu kwa takriban miezi minane kufuatia kukamatwa kwa kuhusika na kifo cha Kanumba.
Lulu ambaye hivi karibuni amekuwa akitweet mara kwa mara ameandika:

“Ulikuwa zaidi ya baba,kaka,mpenzi,mume,ndugu,rafiki….sitoacha kukulilia katika maisha yangu yote!!R.I.P daddy angu STEVEN KANUMBA.”

Akiambatanisha na picha ya Kanumba, Lulu ameongeza, “I will alwayz love u daddy angu!”




Unaweza kumfollow Elizabeth Michael ‏Twitter kwa jina la @hotlulumichael.

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget