Lakini katika hali isiyo ya kawaida wanafunzi wengi wameshindwa kuamini kilicho tokea na katika mitandao ya kijamii walikua na haya ya kusema..

Mtaki R Muyenjwa Gamba
-
Shaddy Mwana Wa Njemba, Linnah William, Deogratius P Kessy and 2 others like this.
-
View 17 more comments
-
Florah Barongo mungu wang wat happen lord! some1 talk 2 plz?
38 minutes ago via mobile · Like
-
Munirah Hemed Duh. Ni bonge la pigo. Ameumwa au alipatwa na nini jamani mwenye picha yake arushe basi maana kumbukumbu haipo
25 minutes ago · Like · 1
-
Godlisten E Chaachawe R.I.P joh..bandugu mwenye pic yake fanya kama mnaishea kwe wall yang
21 minutes ago via mobile · Like
-
Neema Mollel

Mtaki R Muyenjwa Gamba
- Shaddy Mwana Wa Njemba, Linnah William, Deogratius P Kessy and 2 others like this.
- View 17 more comments
- Florah Barongo mungu wang wat happen lord! some1 talk 2 plz?38 minutes ago via mobile · Like
- Munirah Hemed Duh. Ni bonge la pigo. Ameumwa au alipatwa na nini jamani mwenye picha yake arushe basi maana kumbukumbu haipo25 minutes ago · Like · 1
- Godlisten E Chaachawe R.I.P joh..bandugu mwenye pic yake fanya kama mnaishea kwe wall yang21 minutes ago via mobile · Like
- Shaddy Mwana Wa Njemba, Linnah William and 4 others like this.
- 1 share
- View 30 more comments
- Dinne Shose ni yupi huyo jamani...poleni wana ajtc2 hours ago · Like
- James Jovin OOOOOOOH BOY mungu wangu weeee RIP DAVIDI daaa yani sijui niseme nini hivi ni kweli kabisa2 hours ago · LikeShaddy Mwana Wa Njemba
- Shaddy Mwana Wa Njemba and Hilda Kileo like this.
- View 3 more comments
- Gift Kisetu Amen,about an hour ago via mobile · Like · 1
- Shaddy Mwana Wa Njemba apuzike salama davabout an hour ago via mobile · Like
- Coolbaby Isaack R.I.P DAV13 minutes ago via mobile · LikeOptionsDoroth Luiza
- Neema Mollel and 3 others like this.
- View 5 more comments
- Charles Kikoricho R.I.P8 hours ago · Like
- Brian Cosmas Thr r thngs tht w dnt wnt 2 hpn bt hv 2 acpt!Thngs tht w dnt wnt 2 knw bt hv 2 lrn!Pple tht w cnt liv wtht bt hv 2 lt go6 hours ago via mobile · Like
- Maarifa Kabanga kufa kwetu n lazma bt kunaumza R.I.Pabout an hour ago via mobile · Like
Taarifa hizi zimesambaa mapema leo asubuhi katika mitandao may 8 2013 ambapo inasemekana Mwanafunzi huyo Davidi Rimisho alikutwa chumbani akiwa amefariki na baadhi ya majirani kwani alikuwa anaishi kwenye chumba nje kidogo ya chuo hicho almaarufu (Gheto) ambapo bado haijabaainika nini chanzo cha kifo hicho ijapokuwa uchunguzi wa awali umebaini kuwa marehem alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kuzimia pengine ndio uliopelekea kifo chake baada ya kukosa msaada chumbani kwake..... izabree.blogspot.com itakuletea muendelezo wa kisa hiki marehemu DAVID RIMISHO akiingizwa kwenye gari tayari kwa kupelekwa katika vyumba vya kuhifadhia maiti,,R.I.P,picha na yunami swai.
Post a Comment