Chama kipya cha siasa chasajiliwa tanzania fuatilia hapa

Chama kipya cha Siasa chajitambulisha rasmi
leo baada ya kupata usajili wa muda.
Kinaitwa

Alliance for Change and Transparency (ACT-
Tanzania), Mwenyekiti wake ni Kadawi Lucas
Limbu na Katibu Mkuu ni Samson Mwigamba.
Misingi yake ni Uzalendo, Usawa, Uadilifu,
Demokrasia ya Kweli, Uwazi na Uwajibikaji.
Je, vyama vya siasa 21 vilivyopo hivi sasa,
vinakosa msingi upi kati ya misingi hiyo ya
ACT-Tanzania?

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget