MAHABUSU AUAWA AKIJARIBU KUTOROKA MAHAKAMANI KISUTU, DAR
Muonekano wa mahabusu aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone baada ya kupigwa risasi.
Koroma akiwa kwenye machela tayari kwa kupelekwa kuifadhiwa hospitalini.
Askari wakimuondoa mahabusu huyo.
Wananchi na Askari wakiwa eneo la tukio.
MAHABUSU aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul
Koroma raia wa Sierra Leone ameuawa kwa kupigwa risasi na Askari
Magereza wakati akijaribu kutoroka katika eneo la Mahakama ya Kisutu
jijini Dar leo!
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget
Post a Comment