Smartphone Zauwa Soko la Magazeti nchini..............



Mitandao ya kijamii nchini imeelezwa kuwa sababu ya ya kudorora kwa kwa biashara ya magazeti  jijini DAR ES SALAAM
Wakizungumza na izabreez.blogspot.com hii leo baadhi ya wafanya biashara wa magazeti jijini DAR ES SALAAM wamesema  kasi ya ukuaji  wa mitandao ya kijamii kumesababisha ununuzi wa magazeti kudorora kwa kiasi kikubwa jambo ambalo linapekea mauzo ya nakala za magazeti kupungua kwa kiasi kikubwa.
Aidha wameongeza kuwa kwa sasa Watu wengi wamekuwa wakitumia simu zao za mkononi  kusoma habari mbalimbali mitandaoni Hali ambayo inapelekea  watu kushindwa kununua magazeti na kuifanya biashara kuwa ngumu,
Kwa upande wao baadhi ya wateja wa bidhaa hiyo wamesema kuwa awali kulikuwa na umuhimu wa kukunua magazeti kwa ajili ya kujisomea lakini kwa sasa ukuaji sayansi na technologia umerahisisha upatikanaji wa habari  jambo ambalo limepunguza uhitaji wa magazeti.
Image result for matumizi ya smartphone 

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget