PICHA 8: Rais Magufuli alivyowasili Pemba kuzungumza na wakazi wa kisiwa hicho

Leo September 02 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya kuzungumza na wanachi wa Kisiwa hicho.

Aidha Rais Magufuli ameweka shada la maua katika Kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma Makamu wa Rais wa zamani katika awamu ya Tatu katika kijiji cha Wawi Bigilini kisiwani katika Wilaya ya Chake chake Pemba.
2
Rais Magufuli na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mwanajuma Abdallah mara baada ya kuwasili kisiwani humo
jpm3
Mama Janeth Magufuli akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma Makamu wa Rais wa zamani kijiji cha Wawi Bigilini kisiwani katika Wilaya ya Chake chake Pemba.
3. 3 6 11 jpm6 jpm4
jpm7
Rais Magufuli akiweka shada la maua katika Kaburi la Marehemu Dkt. Omar Ali Juma Makamu wa Rais wa zamani katika awamu ya Tatu katika kijiji cha Wawi Bigilini katika Wilaya ya Chake chake Pemba. 
source millardayo.com

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget