\
Hayo yamesemwa na wafanya usafi huo kwa shurti ya kutotajwa majina yao ambapo wamefafanua kuwa kwa muda mrefu sas wamekuwa wakifanya usafi bila kuwa na vitendea kazi vya kutosha kama vile glofs, vifaa vya kuvaa mikononi jambo ambalo linawatia wasiwasi kuhusu afya zao
WAFANYA KAZI WA USAFI WA JIJI ;LA ARUSHA WAKIMIMINA UCHAFU KWENYE LORI BILA YA KUWA NA VITENDEA KAZI, picha na Izack Mwacha
Post a Comment
ARUSHA SAFI INAWEZEKANA................................INAANZA NA WANA ARUSHA