KIMINI CHAMUWEKA AFISA POLISI MATATTANI SOMA HAPA NA TAZAMA PICHA RASMI HAPA

Afisaa mmoja wa polisi
mwanamke nchini Kenya amepewa
onyo kali kwa kuvalia sketi
iliyokuwa imembana kiasi cha
kuonyesha umbo lake.
Wakuu wake walichukua hatua ya
kumuonya polisi huyo baada ya
picha yake kusambazwa kwenye
mitandao ya kijamii na kupigiwa
gumzo kubwa.
Alipigwa picha akiwa amevalia
sketi yake fupi na yenye kumbana
akiwa anashika doria katika eneo
ambako mashindano ya magari
yalikuwa yanafanyika eneo la Kati
mwa Kenya.


Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget