MSANII MAARUFU WA FILAMU MATUMAINI AREJEA TANZANIA JANA USIKU NA KUPELEKWA MOJA KWA MOJA HOSPTALINI zaidi soma hapa....


MSANII MAARUFU WA FILAMU  MATUMAINI AREJEA  TANZANIA JANA USIKU NA KUPELEKWA MOJA KWA MOJA HOSPTALINI
Mchekeshaji na muigizaji maarufu Tanzania Tumaini Martin maarufu kwa jina la Matumaini aliekuwa  anaumwaa  bila kupatiwa matibabu yeyote kule nchini Msumbiji Jana jioni alitua  hapa nchini kwa msaada wa michango ya wasanii wenzake wa filamu walomuwezesha kuapata nauli ya kufika hapa Tanzania.Msanii baada ya kutua hapa Tanzania alipelekwa moja kwa moja hosptalini huku akiwa amebebwa mgongoni na kusikika akiwaambia waadishi wa habari kuwa hawezi kusimama aongee nao kwani miguu haina ngvuvu . ......................
MUNGU AMSAIDIE APONE HARAKA

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget