breacking news, benk ya barclays kinondoni yavunjwa kweupe kiasi kikubwa cha fedha chachukuliwa

BREAKING NEWS: Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kua ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la kinondoni na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana maramoja. Tukio hilo limetokea muda huu saa 4, ktk tawi la benki hiyo iliopo kinondoni eneo la bakwata likihusisha watu watatu waliokua na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola. Source: EATV facebook page.

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget