Gazeti hilo limevinukuu vyombo vya kiusalama na kuandika kuwa tetesi zilizopo zinaonyesha kuwa, baadhi ya Walibya wenye misimamo ya kufurutu ada wanarejea nchini humo na kujaribu kuasisi kambi kwa ajili ya kundi la Daesh huko kaskazini mwa Afrika. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Kukosekana serikali kuu yenye nguvu huko Libya tangu kung’olewa madarakani dikteta Muammar Gaddafi mwaka 2011 huenda kukaandaa mazingira ya kupanuka kwa harakati za kundi la kitakfiri la Daesh nchini humo.
Kundi la Daesh lajaribu kujipenyeza Libya
Gazeti hilo limevinukuu vyombo vya kiusalama na kuandika kuwa tetesi zilizopo zinaonyesha kuwa, baadhi ya Walibya wenye misimamo ya kufurutu ada wanarejea nchini humo na kujaribu kuasisi kambi kwa ajili ya kundi la Daesh huko kaskazini mwa Afrika. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Kukosekana serikali kuu yenye nguvu huko Libya tangu kung’olewa madarakani dikteta Muammar Gaddafi mwaka 2011 huenda kukaandaa mazingira ya kupanuka kwa harakati za kundi la kitakfiri la Daesh nchini humo.
Post a Comment