Kuna ishu ya mastaa kutosema ukweli kuhusu umri wao, wapo ambao wanajipunguzia miaka na wengine wakiulizwa wanazidisha.
Hapa nimekuwekea pichaz na majina ya
baadhi ya mastaa ambao mwaka 2015 wamesherekea au watasherehekea
kutimiza miaka 50, wengine ukiwaangalia huenda usiamini, umri mkubwa
lakini muonekano ukiwaangalia usoni ni tofauti, wengi wanaonekana ni
vijana kabisa tofauti na umri wao.
Rapper Dr. Dre, mfanyabiashara, producer wa Muziki na Meneja waWasanii.. Ametimiza miaka 50 February 18.
Post a Comment