
Akizungumza na waandishi wa habari waziri wa
mambo ya nje wa Tanzania Bernald Membe amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya
viongozi hao wakuu wa nchi hizo mbili kukutana nchini Namibia walikokwenda
kuhudhuria maadhimisho ya miaka 25 ya uhuru wa Namibia.
Makubaliano ya marais hao yanakuja siku chache
baada ya mzungumzo ya mawaziri wa utalii wa Tanzania na Kenya kuvunjika
mwishoni mwa wiki kufuatia pande hizo mbili kushindwa kufikia muafaka kuhusu
magari ya Tanzania yaliyopigwa marufuku uwanja wa Jomo Kenyatta.
Post a Comment