MBUNGE WA MBEYA MJINI MH. MNYIKA {MR II} AKERWA NA MSTARI UNAOMUHUSU KATIKA NGOMA YA ROMA 2030 zaidi soma hapa...



MBUNGE WA MBEYA MJINI ALIA NA WIMBO WA ROMA 

[2030 ]WENYE MSTARI UNAOMUHUSU



 Msanii wa kwanza kufanya album hapa Bongo na kwa sasa ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia tiketi ya CHADEMA, Joseph Mbilinyi a.k.a  Mr II na wengi hupenda kumuita Sugu ameonyesha wazi kukerwa na ambao ameuimba   ROMA katika ngoma yake ya 2030, Sugu  alichodai ROMA ana kurupuka na hajui anachokifanya.

Akizungumza katika kipindi cha TV wiki iliyopita Sugu amesema kuwa msanii huyo anapaswa kuijua misingi ya hip hop na pia Sugu amemuonya na kumtaka roma awe muangalifu na anachokiandika na kukitowa kwa jamii na sio kukurupuka kama mtu aliyestuliwa toka usingizini.

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget