HII INAWAHUSU WALE WADAU WA BOB JONIOR... MUONEKANO WAKE KWA SASA NI KAMA HIVII....


Ni wiki kadhaa sasa Rais wa Masharobaro nchini Tanzania, Bob Junior yupo barani Ulaya katika ziara kwenye nchi mbalimbali akipiga mkwanja kama kawa. Akiwa huko amekuwa akipost picha mbalimbali za show zake na jinsi anavyokula bata.
531590_10151393519354962_1275671866_n
Weekend hii ameshare picha ya muonekano wake mpya wa nywele na mashabiki wengi wameonekana kuupenda.
Hitmaker huyo wa OYOYO ameandika kwenye picha hiyo, “New look rais wa masharobaro bado siku 3 nisheherekeeee siku yangu yaku zaliwa upya love u all

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Contact Form

Name

Email *

Message *

designed by izack. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget